Nilikimbia nje. Nikapiga kelele, "Hukunipata!"
Kaka yangu alikuja kunitafuta. Nilikuwa nimejificha nyuma ya pazia.
Alinitafuta nyumba nzima.
Aliingia ndani ya chumba nilimokuwa nimejificha.
Halafu, alitoka nje!
"Njoo tucheze Kidalipo," kaka yangu aliniambia.
1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12… …92, 93, 94, 95, 96, 100!
Nilitulia kabisa. Nilikuwa nikiwaza, "Atanipata."