Lulu yuko wapi?
Mohale Mashigo
Clyde Beech

"Ah, la!"

1

"Lulu, wakati wa kwenda umefika," Mama anaita.

2

Lulu yuko wapi?

Je, yuko chini ya sofa?

3

Je, yuko nyuma ya pazia?

4

Lulu yuko wapi?

Je, yuko karibu na jiko?

5

Je, yuko katika kabati?

6

"Lulu, wakati wa kwenda umefika! Uko wapi?" Mama anaita.

7

"Wewe ndiye huyu sasa!" Mama anasema.

"Sitaki kwendaaa!"

8

"Ni lazima twende," Mama anasema.

"Lakini, ninapenda hiki!"

9

"Hebu twende sasa."

10

"Lakini..."

11

"Ninapenda hiki kweli!"

12

"Na hiki pia!"

13

"Na hiki vilevile!"

"Hata na hiki!"

14

"Tazama, unarejesha vitabu na kuomba vingine zaidi," Mama anasema.

"YEE!"

15

Lulu yuko wapi sasa?

16
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Lulu yuko wapi?
Author - Mohale Mashigo
Translation - African Storybook
Illustration - Clyde Beech, Nkosingiphile Mazibuko
Language - Kiswahili
Level - First words